Katika siku ya pili ya Conférence Générale, wajumbe walitumika kwa haraka kupitia calendrier ya consentement.
Kwa sababu calendrier ya consentement iko na vitu vingi via ku voter saa mmoja, wakati ingine ni vigumu kufuatilia kile ambacho kilikubaliwa. Hata hivyo, révérend Gary Graves, secrétaire wa Conférence Générale, alisimamisha plénière ya asubuhi juu ya kuangaza décision mkuu wajumbe walikubali: kuingia katika communion na Kanisa Épiscopale.
Interdictions ya wa LGBTQ yanondolewa polepole

Conférence Générale inafanya mabadiliko ya kihistoria kimya kwa sera ya watu wa LGBTQ wa Église Méthodiste Unie.
Bila débat, wajumbe walichagua 667-54 kwa mabadiliko ya ihi siku hiyo ambayo inasainaruhusu assemblée législative kukubali sheria wingi . Ili kuwekwa kwenye calendrier ya consentement, maombi lazima yapokee zaidi votes 10 za "hapana" katika commission legislative na ayipashwe kubadilisha budget ya Kanisa ao dénomination.
Vitu vilivyopitishwa wakati ya asubuhi ya 30 avril kinaondoa kando ya Plan Traditionnel uliopitishwa kwa vote ya 438-384 katika Conférence Générale la 2019. Iyi plan iliweka sheria wengi juu ya wa LGBTQ na wa clergé “wale wanaojitambulisha kuwa homosexuels”
Communion na Kanisa Épiscopale inakaribia zaidi
Communion na Kanisa Épiscopale kukubaliwa kwa wajumbe kupitia calendrier ya consentement wakati wa session ya asubuhi. Session ya Conférence Générale kilikatizwa kwa muda ili kutambua kupitishwa kwake.
Tangazo hili linakuja wakati wa “journée œcuménique” ya Conférence Générale, kuanza na ibada ya asubuhi kwa mahubiri ya Rev. Jerry Pillay, mchungaji wa kutoka Afrique du Sud katika Uniting Presbyterian Church, akaleta habari la makubaliano ya ushirika na Kanisa la Morave ilipitishwa mu 29 avril.
Kama Kanisa Épiscopale inakubali hayo, ambayo yasifanyike hadi mikutano iliyopangwa kufanyika mwaka 2027, itamaanisha kwamba hayo dénominations mawili yanatambuana kuwa ni “kanisa moja, takatifu, catholique na apostolique ambalo Injili inahubiriwa na kufundishwa kwa njia inafaayo.”
Mabadiliko ya Principes Sociaux zinapita
Église Méthodiste Unie imekubali seti mupya ya Principes Sociaux.
Wakati wa séance plénière ya asubuhi, wajumbe walichagua kupitiya calendrier ya consentement kwa votes 667-54 sehemu tatu ya Principes Sociaux zilizorekebishwa. Hizi ni pamaja na préambule mupya na sehemu mupya kuhusu Communauté ya viumbe vyote na Communauté économique. Wajumbe wanarekebisha aya ya 160 na 163 katika Kitabu cha Nidhamu (Livre de Discipline).
Wakati wa kuomboleza unyanyasaji

Baada kazi ya Conférence Générale ilimaliza mu 29 avril, wajumbe, wa officiers wa kanisa na waangalizi walipatana inje ya salle ya Charlotte Convention Center kuomboleza uharibifu uliofanywa na wanyanyasaji wa wanaohusishwa na kanisa.
Katika kikao cha asubuhi cha 30 Avril, wajumbe walipitisha kupitia calendrier ya consentement ombi la msamaha kutoka ku Conférence Générale kwa waathiriwa na waathirika wa tabia mbaya ya kingono katika Kanisa la Méthodiste Unie. Résolution hilo pia linahimiza na kuunga mkono kuripotiwa kwa makosa ya ngono, na linasema matumizi mabaya ya madaraka katika nafasi ya uongozi hayatavumiliwa.
Wajumbe walifurahiwa succès na maendeleo wa Africa University

Wajumbe wa Conférence Générale, viongozi wa makanisa na wanafunzi wa zamani walisherehekea matokeo ya Africa Univeristy na usaidizi kutoka kwa Wamethodisti Unie kotekote ambao wamesaidia kutoa elimu bora kwa wanafunzi wengi.
Kweli kwa musemeyo yake, " Hapa ndipo ambapo viongozi hutengenezwa," karibu ya 200 waliopokea diplômes zao kutoka Africa University walisimama katika salle kama James H. Salley, rais/directeur general wa Africa University Inc. vice-chancelier associé chargé chansela mshiriki kwa ajili ya maendeleo ya Africa University. Kati ya wanafunzi wa zamani hao ni wajumbe, waangalizi na watu wa kujitolea katika mkutano huo.
Hata hivyo, kufuatia débat mkali wakati wa kikao cha asubuhi cha 30 avril, plénière hilo lilikataa kuendeleza résolution ambalo lingetenga 10 millions kwa Africa University kwa muda wa miaka minne.
Katika habari nyingine
- Wa diplômés wa Africa University wanafanya kazi katika Conférence Générale. Kulingana na tradition, wana huchukua kazi ya uongozi kama wajumbe, watafsiri na wakalimani katika mkusanyiko huu wa kimataifa.
- Wakati wa kipindi cha asubuhi, Askofu Christian Alsted wa Région Épiscopale Nordique/Balte alitoa wito wa maombi kwa ajili ya maelfu ya watu waliouawa na vita huko Ukraine, Gaza na Est ya Congo.
Hii ni mara ya kwanza conflit armé ku Est ya Congo kutajwa katika Conférence Générale.
Est ya RD Congo imekuwa ikikumbwa na vita kwa miaka nyingi, na kusababisha mateso makubwa ya binadamu na kucheleweshwa kwa maendeleo ya inchi.
Jéthro Muyombi, mjumbe mlei kutoka Région Episcopale ya Sud-Congo, alikuwa ametoa motion mu 29 avril akiomba Conférence Générale kuombea Est ya Congo.
Révérende Esther Furaha wa Conférence Annuelle ya Kivu, mahali palipokumbwa na vita, alisema ni faraja kushuhudia maombi kwa ajili ya nchi yake.
"Maombi hayo yaliniletea hali ya utulivu na shukrani kuona communauté ya kimataifa na kanisa langu likihamasishwa kwa ajili ya nchi yangu," alisema. "Nilijisikia faraja kutokana na maneno ya huruma na matumaini yaliyotolewa wakati wa maombi."
Butler ni producteur/editeur wa UM News.Unaweza kumpata kwa [email protected] ao 615-742-5470. Wafanyakazi kutoka UM News na United Women in Faith walichangia ripoti hii.
Kusoma habari ingine za Église Méthodiste Unie, udiandikishe ku Daily ao Weekly Digests.