Chakula cha asubuhi kwa Good News GC2019 imealikwa wantu mingui

Kundi mkubwa zaidi kuliko uliotarajiwa ilikwenda ku Chakula cha asubuhi iyiolipangwa kwa Good News, kundi cha utetezi wa jadi, siku ya kwanza ya Conference Generale maalum.

Wale waliouliratibu mkutano ihio katika hoteli ya jiji la St Louis juu ya Februari 23 walipanga juu ya wageni na wajumbe 250.

"Tulipaswa aliongezaviti 90. Ilikuwa kele kidogo," Steve Beard alisema, mhariri wa Good News Magazine.

Beard aliongeza Habari Njema (Good News) ilituma kuongeza chakula sawa sandwiches na bagel, juu ya kuongeza pa chakula cha asubuhi. Kwa ujumla, Habari Njema (Good News) anakisia kama watu 350 kwa 400 walihudhuria iyo chakula cha asubuhi.

Good News ina jadi ya kupanga mazungumzo na chakula cha asubuhi katika Conference General, Mkutano Mkuu, na hii ilikuwa yakutchagana na ni tofauti na ya kimataifa.

"Hii ilikuwa watu ya juu zaidi ya Afrika niliyoona katika chakula cha asubuhi," alisema.

Conference General wa 2019 iliitwa kwa Baraza la Waaskofu kushughulikia mgawanyiko wa muda mrefu katika kanisa juu ya mambo ya ushoga. Good News na makundi ya washirika wanaunga mkono Mpango wa Jadi uliobadilishwa, ambao utaimarisha utekelezaji wa vikwazo rasmi vya kanisa dhidi ya vyama vya ushirika wa jinsia moja na uandamano wa "mazoezi ya kujitegemea" wa kibaguzi wa mashoga.

Mpango iyi pia inahitaji mikutano ya kuthibitisha kwamba watafuata sheria na kuwahimiza kuwatenganisha katika madhehebu yao wenyewe kama awepokea iyi mpango.

Mchungaji Jerry Kulah, mjumbe wa Conference wa Liberia na mratibu mkuu wa Initiative Afrika, alizungumza wakati wa chakula cha asubuhi.

"Rafiki, tafadhali nisikilize, sisi Waafrika hatuogope wa ndugu zetu wanaume au wanawake na wanaojulikana kama wasagaji, mashoga, maswala ya kijinsia, ya kibaguzi, ya kibaguzi, au ya kikabila," alisema. "Tunawapenda na tuna watamaini bora kabisa kwao. Lakini hatujui bila sababu zenye kulazimisha ufahamu wetu wa maandiko ya kanisa na mafundisho ya kanisa la ulimwengu wote."

Aliongeza: "Na kisha tafadhali nisikilize ninaposema na neema nawezavyo: Sisi si watoto wanaohitaji mwanga wa Magharibi wakati wa maadili yetu ya ngono."

Mchungaji Kulah pia alikataa hoja yoyote ambayo wajumbe wa Afrika wanafikiri msaada wa Marekani kabla ya kupiga kura katika Conference General.

"Tunaishi na kidogo sana kama Wamarekani wengi wanaishi," alisema. "Tunajua jinsi ya kufanya hivyo. Mimi sio uhakika wa kufanya. Kwa hiyo ikiwa muntu yeyote hana akili au kutushusha kama tutauzisha haki yetu ya kuzaliwa mwa Yesu Kristo kwa dola za Amerika."

Mchungaji Kulah pia aliuliza sheria ambayo itawawezesha makanisa njia rahisi ya kuondoka kwa madhehebu na mali zao.

"Mgawanyo kwa kweli ni bora kuliko umoja katika kosa," Mchungaji Kulah alisema.

Mchungaji Tom Lambrecht, Makamu wa Rais na Mkurugenzi wa Good News, aliwaambia wale walipo jinsi utaratibu wa kupiga kura utakavyoenda kama wajumbe wanapendekeza kipaumbele ambacho watachunguza.

Mchungaji Lambrecht aliwaambia wajumbe katika chakula cha asubuhi kwamba wangehitaji kupiga mara tatu kwa kuchagua sheria yao ya kupendekezwa.

Siku ya Februari 24, wajumbe 864 wa Conference General wataweza kuchagua miongoni mipango ya mingi ambayo wanataka ihende mbele. Siku ya Februari 25, wajumbe wataboresha mipango, na siku ya Februari 26, watakuwa na kura ya mwisho.

Mchungaji Lambrecht pia ni memba wa Tume iliyochaguliwa kwa waaskofu dju Tume ya Njia ya Mbele, ambayo ripoti inakuya Mpango wa Jadi. Toleo la marekebisho linaongeza ku Mpango wa Jadi iliobadilishwa.

Aliwahimiza wajumbe kuwasilisha Mpango wa Jadi, Mpango wa Jadi iliobadilishwa na  ujumbe wili ya pensheni ambayo yanahitaji kutaniko lolote linaloondoka madhehebu ili kulipa sehemu yake ya haki ya dhima ya pensheni isiyo ya kifedha kwa mkutano wao.

Mchungaji Lambrecht alisema nafsi katika chumba ilikuwa nzuri sana.

"Minawaza wajumbe wa kimataifa, kwa kiasi kubwa, wamejiunga mkono dju mpango wa jadi na inasukuma wajumbe wa Marekani ambao wanakubali," alisema. " Minawaza kulikuwa tumaini asubuhi hii."

Préoccupations sociales
Le 10 octobre, des jeunes ont défilé dans les rues d'Antananarivo, à Madagascar, brandissant des pancartes sur lesquelles on pouvait lire « Même les lémuriens veulent de l'eau et de l'électricité », en référence aux primates populaires originaires du pays. Ce message souligne la frustration croissante des jeunes face à la pénurie persistante d'eau et d'électricité dans le pays. Photo de Diary Andrian.

L'Église réagit à la crise à Madagascar

Les Méthodistes Unis appellent à la prière et à l'action fidèle alors que cette nation de l'océan Indien connaît des bouleversements politiques et sociaux.
Témoignages
Le révérend Abisay Lameck Juwakali, décrit comme une source d'inspiration pour son leadership et son service résilients, ainsi que comme un pionnier de la mission holistique, est décédé le 5 octobre dans un accident de la route. Photo gracieusement fournie par la Conférence annuelle de Tanzanie.

Abisay Juwakali restera dans les mémoires comme un leader holistique

Le révérend Abisay Lameck Juwakali, défenseur d'un ministère alliant évangélisation, éducation et santé, est décédé le 5 octobre dans un accident de la route en Tanzanie.
Le Conseil des Evêques
L'Évêque Mande Muyombo (tenant le microphone), président du Collège des évêques africains et évêque du Nord Katanga, prodigue des conseils au nouvel Évêque Antoine Kalema Tambwe lors de sa cérémonie d'installation à la tête de l'Église Méthodiste Unie au Congo Est, le 28 septembre 2025 à Kindu, en République Démocratique du Congo. Photo de Chadrack Tambwe Londe, UM News.

Le Congo Est célèbre son nouvel évêque

L’Évêque Antoine Kalema Tambwe a été installé dimanche 28 septembre 2025 à Kindu devenant le deuxième évêque du Congo Est en remplacement de l’Évêque Gabriel Unda Yemba parti en retraite.

United Methodist Communications is an agency of The United Methodist Church

©2025 United Methodist Communications. All Rights Reserved